Facebook

Friday, 13 June 2014

Harrison Ford aumia aki"shoot" filamu.

 Photo: HARRISON FORD AUMIA AKI "SHOOT" FILAMU

Nyota wa filamu wa Marekani Harrison Ford ameumia wakati akiigiza filamu mpya ya Star Wars: Episode VII.
Ford amepelekwa hospitali baada ya kuangukiwa na mlango katika studio za Buckinghamshire, Uingereza.
Haifahamiki kama ataendelea kuigiza filamu hiyo.
Lupita Nyong'o pia yumo katika filamu hiyo mpya.
Nyota wa filamu wa Marekani Harrison Ford ameumia wakati akiigiza filamu mpya ya Star Wars: Episode VII.
Ford amepelekwa hospitali baada ya kuangukiwa na mlango katika studio za Buckinghamshire, Uingereza.
Haifahamiki kama ataendelea kuigiza filamu hiyo.
Lupita Nyong'o pia yumo katika filamu hiyo mpya.
 
Hivi sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani.
 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment